Saturday, 3 August 2013

Mnara Wa UHURU


Mnara wa Uhuru ndio kama kitambulisho cha mkoa wa Mbeya,upo katika eneo la mjini karibu kabisa na kikosi cha Zimamoto,ofisi ya mkuu wa mkoa,ofisi za mkuu wa wilaya(bomani)na si mbali sana  na ofisi za halmashauri ya jiji la Mbeya.Eneo hili ndipo yanapofanyika maadhimisho ya sikukuu ya mashujaa,ambapo viongozi wa serikali,dini na kimila huwa wanakuja kuweka mashada ya maua na kuwaombea mashujaa wetu wa Tanzania waliopoteza maisha yao kwa ajili ya kuitetea na kuilinda nchi yetu ya Tanzania

1 comment: