Saturday, 30 November 2013

       ARSENAL BALAA
      yaifunga Cardiff 3-0

       Aaron Ramsey alifunga magoli mawili dhidi ya timu yake ya zamani ya Cardiff katika ushindi mnono wa magoli 3-0 walioupata Arsenal.

Wednesday, 27 November 2013

David buruan
city no one
                                        picha zote kwa hisani ya David Buruan.
    Katika michezo iliyochezwa ya ligi kuu ya Vodacom msimu huu,mechi inayosemekana kwamba ilikua ni nzuri kuliko zote ni kati ya Azam na Mbeya City iliyochezwa katika uwanja wa Azam chamazi Dar.

Sunday, 24 November 2013

Cardiff sare na man utd

Wayne Rooney  aliifungia Manchester United goli la kuongoza , lakini mchezaji wa zamani wa Manchester United  Frazer Campbell akaisawazishia Cardiff .

Arsenal yazidi kupaa

Arsenal wamezidi kujikita katika uongozi wa ligi kuu ya Uingereza baada ya kuwafunga Southampton kwa magoli 2-0, magoli hayo yote yalifungwa na Olivier Geroud moja kila kipindi.