Saturday, 16 November 2013

      Alex seth
Messi wa
 mbeya city
IMEANDIKWA NA ABDUL SUDI,PICHA KWA HISANI YA ALEX SETH

       Anapiga miguu yote miwili, jambo ambalo ni nadra sana kwa wachezaji wengi,  ana uwezo wa kufunga na pia ni mzuri sana  wa kupiga pasi za mwisho.  Huyo ni Alex Seth au maarufu sana kwa mashabiki wa soka kama Messi wa Mbeya City.

Wednesday, 13 November 2013

Manow tukuyu mbeya
      Manow  ni moja ya sehemu tulivu na yenye uoto mzuri wa asili na mazingira yake ni mazuri mno nay a kupendeza. Ipo katika wilaya ya Rungwe, karibu kabisa na mlima Kyejo, mlima ambao una volcano
NJIA 40 ZA KUISHI KWA FURAHA BILA MAJUTO

FURAHA NI KITU KIKUBWA SANA KATIKA MAISHA,FURAHIA MAISHA USIWE NA MANUNG’UNIKO WALA MAUDHI MOYONI…..HIZI NI NJIA 40 ZA KUKUSAIDIA KUISHI KWA FURAHA………

Sunday, 10 November 2013

MAN UNITED MBABE WA ARSENAL


      Toka ajiunge na timu ya Manchester United akitokea  timu ya Arsenal,Robin Van Persie amefanikiwa kuifunga timu yake ya zamani kila wanapokutana nayo,  wamekutana mara tatu na kafunga mara tatu pia.
Sunderland yaifunga man city

Manchester City imepoteza mchezo wanne katika ligi kuu ya Uingereza, baada ya kufungwa goli 1-0 na tmu ya sunderland.
Goli pekee katika mchezo huo lilifungwa na Phil Bardsley katika kipindi cha kwanza baada ya kumtoka James Milner na kuukata ukaingia pembeni mwa goli.