Friday, 7 February 2014

David buruan;
Kila mchezo unaokuja ni fainali

Kipa wa timu ya soka ya Mbeya City ya jijini Mbeya, David Buruan amesema sasa hivi wanajipanga ili kila mchezo watakaocheza uwe kama ni fainali, hivyo wapo makini sana kuhakikisha wanapata pointi tatu katika kila mchezo.

Thursday, 6 February 2014

WATAALAMWA KUPUNGUZA NA KUJENGA MWILI
GOLD GYM MBEYA

Ni kazi rahisi sana kunenepa na kuharibu shepu yako, lakini ni vigumu mno kuondoa huo unene. Watu wengi wanatumia gharama kubwa ili kujaribu kupunguza mwili ulioongezeka bila ya kupenda.

Monday, 3 February 2014

 Mbeya city tunasonga mbele

Timu ya Mbeya City,imepoteza mchezo wake wa kwanza wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania baada ya kufungwa goli moja kwa bila na Yanga katika mchezo uliochezwa jumapili.