Saturday, 9 November 2013

Juma mwambusi
Kocha aliyeleta mabadiliko ya soka Tanzania

  Sasa hivi kila kona ya Tanzania kinachozungumzwa sana kwa mashabiki wa soka ni juu ya timu ya Mbeya  City.  Na cha kufurahisha kila mmoja

Thursday, 7 November 2013

  MASHABIKI WA MBEYA CITY WALIVYO  AMSHA AMSHA  DAR

Mamia ya mashabiki wa Mbeya City waliosafiri toka mbeya wameleta burudani kubwa uwanjani katika mchezo wa Azam na Mbeya City.

Tuesday, 5 November 2013

YOHANA MORRIS
         STOPPER WA MBEYA CITY.

      Yohana morris  ni mmoja kati ya wachezaji waliofanikisha kuipandisha Mbeya City,ni beki kisiki ambae ana uwezo wa kucheza namba nyingi bila shida yeyote.ana uwezo wa kucheza beki wa kulia pembeni au hata kushoto,na pia anacheza bila shida nafasi zote za kati za ulinzi.