Saturday, 14 December 2013

MERTeSACKER AMFOKEA OZIL HADHARANI

Nahodha wa Arsena Per Mertesacker baada ya kipigo cha magoli 6-3 toka kwa Arsena alionekana akimfokea  mchezaji mwenzake toka Ujerumani Mesut Ozil.
Arsenal yachezea

Arsenal imepoteza mchezo wa pili mfululizo baada ya kufungwa na Man City kwa magoli 6-3 katika mchezo ambao kiungo wa Man City Fernandinho alichaguliwa kua ni mchezaji bora wa mchezo huo.

Kwa mwalalika

Mashine ya Mwalalika ipo karibu na shule ya msingi Itiji, ni sehemu maarufu sana kwa wakazi wa Mbeya,ilianzishwa miaka ya sitini na mzee Haji Mwalalika

Thursday, 12 December 2013

Stars yakosa nafasi ya tatu

Kilimanjaro Stars imeshindwa kupata nafasi ya tatu baada ya kufungwa kwa penati 6-5 na Zambia katika mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu wa mashindano ya CECAFA senior challenge cup.

Tuesday, 10 December 2013

Juma ahmad
Kipa wa mecco na tukuyu stars

        Alizaliwa Mbeya Soko Matola na kusoma shule ya msingi Mbata mahali ambapo ndipo alianza kucheza soka kama golikipa, akiwa na watoto wengine  wa uswahilini kama kina Allen Simumba,Mbaraka Kaparata,Amani Masebo na wengine wengi wa soko Matola na maeneo ya Ghana.