Arsenal imepoteza mchezo wa pili
mfululizo baada ya kufungwa na Man City kwa magoli 6-3 katika mchezo ambao
kiungo wa Man City Fernandinho alichaguliwa kua ni mchezaji bora wa mchezo huo.
Mashine ya Mwalalika ipo karibu na shule ya
msingi Itiji, ni sehemu maarufu sana kwa wakazi wa Mbeya,ilianzishwa miaka ya
sitini na mzee Haji Mwalalika
Kilimanjaro Stars imeshindwa kupata
nafasi ya tatu baada ya kufungwa kwa penati 6-5 na Zambia katika mchezo wa kutafuta
mshindi wa tatu wa mashindano ya CECAFA senior challenge cup.
Alizaliwa Mbeya Soko Matola na kusoma shule ya msingi Mbata mahali
ambapo ndipo alianza kucheza soka kama golikipa, akiwa na watoto wengine wa uswahilini kama kina Allen Simumba,Mbaraka
Kaparata,Amani Masebo na wengine wengi wa soko Matola na maeneo ya Ghana.