STARS YAAMKA
Hatimaye timu ya Taifa ya Tanzania, iliwafurahisha mashabiki
wake baada ya kuifunga timu ya Benin wa magoli 4 kwa 1.
Nadir Haroub na Amri Kiemba walionyesha uzoefu wao baada ya kufunga goli la kwanza na la pili kabla ya Thomas Ulimwengu kuongeza la tatu na Juma Luizio kumalizia la nne.
Nadir Haroub na Amri Kiemba walionyesha uzoefu wao baada ya kufunga goli la kwanza na la pili kabla ya Thomas Ulimwengu kuongeza la tatu na Juma Luizio kumalizia la nne.
