Monday, 13 October 2014

STARS YAAMKA

    Hatimaye timu ya Taifa ya Tanzania, iliwafurahisha mashabiki wake baada ya kuifunga timu ya Benin wa magoli 4 kwa 1.
    Nadir Haroub na Amri Kiemba walionyesha uzoefu wao baada ya kufunga goli la kwanza na la pili kabla ya Thomas Ulimwengu kuongeza la tatu na Juma Luizio kumalizia la nne.