Wednesday, 18 December 2013

Stoke hoi kwa man utd

MAN united imefanikiwa kuingia katika nusu fainali ya kombe la ligi(capital one)baada ya kupata ushndi wa goli 2-0 dhidi ya timu ngumu ya Stoke City.
MOURINHO; CHELSEA HAINA WAFUNGAJI

    Pamoja kua na washambuliaji mahiri kama Fernando Torres, Samuel Etoo, na Demba Ba, lakini kocha wa Chelsea Mourinho amesema timu yake haina washambuliaji wa kuweza kuwapatia ubingwa.

Monday, 16 December 2013

MAN UNITED YASHINDA

Magoli mawili ya haraka haraka yaliyofungwa na Dany Welbeck  na jingine lililofungwa na Tom Cleverley yalitosha kuwafanya Man united kupata ushindi katika ligi ya Uingereza baada ya kupoteza michezo miwili mfululizo.