Saturday, 1 February 2014

Kila la kheri mbeya city…..OBJECTIVE TO WIN

JUMAPILI tarehe 2 february 2014, Mbeya City wanapambana na Yanga, ni mechi ngumu kuliko michezo yote ambayo Mbeya City imecheza hadi sasa, Kwa sisi wakazi wa Mbeya tunaitakia kila la kheri timu yetu ya Mbeya City iweze kushinda mchezo huo.

Sunday, 26 January 2014

RHINO HOI KWA SIMBA

TIMU YA Rhino  ya Tabora imeshindwa kutamba mbele ya Simba baada ya kufungwa kwa goli moja kwa bila katika mchezo ligi kuu ya Vodacom Tanzania uliochezwa katika uwanja wa taifa Dar es salaam.