Kila la kheri mbeya city…..OBJECTIVE TO WIN
JUMAPILI tarehe 2 february 2014,
Mbeya City wanapambana na Yanga, ni mechi ngumu kuliko michezo yote ambayo
Mbeya City imecheza hadi sasa, Kwa sisi wakazi wa Mbeya tunaitakia kila la
kheri timu yetu ya Mbeya City iweze kushinda mchezo huo.
