Ni coastal na mbeya city.
Mbeya City wana mtihani mwingine leo pale wanapokutana na timu ya
Coastal Union ya Tanga katika ligi kuu
ya Vodacom Tanzania, mchezo huo utafanyika katika uwanja wa Mkwakwani Tanga na
kuonyeshwa moja kwa moja na kituo cha televisheni cha Azam Tv.



