KARIBUNI
MBEYA CITY INAWASUBIRI
Ilishika nafasi ya
tatu, hakuna aliyetegemea hilo, lakini
liliwezekana, na sasa hivi inatarajia
kwenda juu zaidi. Ni kazi ngumu, ukichukulia timu zote zitakua zinaipania Mbeya
City, kwani wanajua wakifanya makosa muziki wa City ni mkubwa , wataadhirika.


