KI MJINI MJINI
![]() |
| MBEYA MJINI (picha kwa hisani ya Haneef Lohaar) |
Ogopa sana kuibiwa au kutapeliwa unapokua mjini, wengi
wanaoibiwa au kutapeliwa ni wale wanaojiona ni wajanja sana na wa mjini sana
kiasi wanajiamini kupita kiasi, wanasahau kwamba hao wezi na matapeli nao maisha
yao ni ya mjini kila siku na wanaishi kwa kazi hiyo hivyo kila mara wanabadili
mbinu na mitindo ya kufanyia kazi, ni sawa na mfanyakazi yeyote anaeenda
kuongeza elimu chuoni,nao pia wana elimu ya mtaani wanayoongeza kila mara
wanaiita “STREET WISE”……na degree yake ni ngumu kupata lakini ukiipata unakua
kweli umefaulu…..
