Saturday, 29 March 2014

MECHI YA KARNE
Tz Prisons na Mbeya city

                    IMEANDIKWA NA JOEMAN JOH, MBEYA/picha toka vyanzo mbali mbali.
Jumapili  tarehe 30,Machi,2014 kutakuwa na mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania kati ya Tz Prisons dhidi ya Mbeya City. Hiyo ni Mbeya derby kwani wote ni watoto wa jijini Mbeya na hata mitaa zinapotoka timu hizi siyo mbali.

Sunday, 23 March 2014

Kutoka mbeya hadi chamazi…….

Mamia ya mashabiki wa Mbeya City, walisafiri  toka jijini Mbeya kuifuata timu yao ilipokua ikicheza na JKT Ruvu(ruvu stars)katika uwanja wa Azam Complex, Chamazi jijini Dar.