Saturday, 7 December 2013

CHELSEA HOI….

Hull City imepata ushindi mnono nyumbani baada ya kuwafunga Chelsea kwa magoli 3-2 katika mchezo mzuri uliojaa ufundi pande zote.
Man u yachapwa

Manchester United imefungwa kwa mara ya pili mfululizo katka uwanja wa nyumbani wa Old Traford, kwa goli lililofungwa na Yohane Cabaye katika dakika ya 61, na kuifanya Newcastle United  kuishinda Manchester United kwa mara ya kwanza katika uwanja huo toka mwaka 1972.