Everton yaibana liverpool
Timu ya Everton imeibana
Liverpool kwa kutoka sare ya mabao 3-3 katika mchezo mgumu na wa kuvutia
uliofanyika katika uwanja wa Goodison Park.
Huu ni mchezo uliotoa magoli mengi katika mchezo uliozikutanisha timu hizo toka mwaka 1935.
Huu ni mchezo uliotoa magoli mengi katika mchezo uliozikutanisha timu hizo toka mwaka 1935.
Iliwachukua dakika tano kwa Liverpool
kupata bao la kwanza





