Peter mapunda
BUNDUKI YA MBEYA CITY
Imeandikwa na
Abdul Sudi, Mbeya/picha kwa hisani ya www.bayana.blogspot na Peter Mapunda.
Mbeya City ina washambuliaji
wengi, na kila mmoja akipata nafasi
anaitumia. Wengi tunamfahamu Mwegane Yeya, ana magoli matano tayari katika ligi
kuu na matatu kati ya hayo aliwafunga Azam, tunamfahamu Paul Nonga, Jeremiah
John na hata Richard Peter, pia tunawafahamu kina Deus Kaseke, Mohamed Kijuso
na Alex Seth, wote wana uwezo mkubwa sana.