Wednesday, 1 October 2014
Sunday, 28 September 2014
Yanga yawafunga
tz prisons
Yanga ilipata goli lake la kungoza la kiufundi llililofungwa na Coutinho katika dakika ya 34, baada ya Mrisho Ngasa kuchezewa vibaya ndipo mwamuzi akatoa adhabu hiyo.
Kama hiyo haitoshi , dakika nne baadae Prisons walipata pigo jingine baada ya mshambuliaji wake wenye nguvu Jackob Mwakalobo kutolewa kwa kadi nyekundu baada ya kupewa kadi ya pili ya njano kwa mchezo mbaya.
Kama hiyo haitoshi , dakika nne baadae Prisons walipata pigo jingine baada ya mshambuliaji wake wenye nguvu Jackob Mwakalobo kutolewa kwa kadi nyekundu baada ya kupewa kadi ya pili ya njano kwa mchezo mbaya.
Subscribe to:
Comments (Atom)

