Wednesday, 1 October 2014

MATOGORO, MCHEZAJI BORA WA MWEZI SEPTEMBER

matogoro,mchezaji bora wa mwezi September

Bodi ya ligi kuu ya Vodacom Tanzania, imemchagua Anton Matogoro waMbeya  City kuwa ni mchezaji bora wa ligi hiyo kwa mwezi September 2014. Amepata na zawadi ya pesa kiasi cha shilingi milioni moja.

Sunday, 28 September 2014

  Yanga    yawafunga   tz   prisons

     Yanga ilipata goli lake la kungoza la kiufundi llililofungwa na Coutinho katika dakika ya 34, baada ya Mrisho Ngasa kuchezewa vibaya ndipo mwamuzi akatoa adhabu hiyo.
      Kama hiyo haitoshi , dakika nne baadae Prisons walipata pigo jingine baada ya mshambuliaji wake wenye nguvu Jackob Mwakalobo kutolewa kwa kadi nyekundu baada ya kupewa kadi ya pili ya njano kwa mchezo mbaya.