Atletico Madrid wametoka sare ya bila kufungana na Chelsea katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali wa
klabu bingwa ya Ulaya katika uwanja wa Estadio Vicente Calderon.
Ligi kuu ya soka Tanzania bara
imemalizika kwa Azam Fc kuchukua nafasi ya kwanza huku Yanga ikiwa ya pili na
timu ngeni katika ligi ya Mbeya City ikiwa nafasi ya tatu.