Thursday, 24 April 2014

Real yaifunga bayern

Real Madrid imefanikiwa kuwafunga Bayern Munich 1-0, katika ligi ya mabingwa Ulaya mchezo ambao Bayern waliutawala kwa muda wote.

Wednesday, 23 April 2014

ATLETICO SARE NA CHELSEA

Atletico Madrid  wametoka sare ya bila kufungana na Chelsea  katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali wa klabu bingwa ya Ulaya katika uwanja wa Estadio Vicente Calderon.
MOYES ATIMULIWAUNITED

Manchester United hatimaye wameamua kuvunja mkataba na kocha wao David Moyes. Wamemteua Ryan Giggs kua kocha wa muda hadi msimu utakapokwisha.

Sunday, 20 April 2014

TZ PRISONS YA UKWELI

         Ligi kuu ya soka Tanzania bara imemalizika kwa Azam Fc kuchukua nafasi ya kwanza huku Yanga ikiwa ya pili na timu ngeni katika ligi ya Mbeya City ikiwa nafasi ya tatu.