SIMBA NA
YANGA SASA OCTOBA 18
Shirikisho la
soka Tanzania, TFF limesogeza mbele kwa wiki moja mchezo wa mahasimu wa jadi
Tanzania, Yanga na Simba kwa wiki moja zaidi, na hivyo
sasa utafanyika tarehe 18 octoba badala ya tarrehe 12 kama ilivyokua katika
ratiba ya awali..

