Friday, 26 September 2014

SIMBA NA YANGA YAAHIRISHWA

SIMBA NA YANGA SASA OCTOBA  18

Shirikisho la soka Tanzania, TFF limesogeza mbele kwa wiki moja mchezo wa mahasimu wa jadi Tanzania, Yanga na Simba kwa wiki moja zaidi, na hivyo sasa utafanyika tarehe 18 octoba badala ya tarrehe 12 kama ilivyokua katika ratiba ya awali.. 

Monday, 22 September 2014

TZ PRISONS YAANZA VEMA
    Timu ya Tz Prisons, ilizima kelele za msemaji wa timu ya Ruvu Shooting Masau Bwire, baada ya kuwafunga kwa mabao mawili kwa bila katika mchezo mzuri uliochezwa uwanja wa Mabatini Ruvu.