NURDIN CHONA
BEKI WA KWELI BONGO
Mshambuliaji aliyeongoza kwa kufunga
magoli katika ligi kuu ya Vodacom Tanzania, Amisi Tambwe hataki tena kukutana
na beki wa Tz Prisons, Nurdin Chona,
kwani kwa jinsi alivyomzuia, hakua na ujanja wala njia ya kumpita japo mara moja kwa dakika zote tisini walipocheza. Kila alipokwenda
alijikuta Nurdin yupo nae,

