Monday, 12 May 2014

NURDIN CHONA
BEKI WA KWELI BONGO

       Mshambuliaji aliyeongoza kwa kufunga magoli katika ligi kuu ya Vodacom Tanzania, Amisi Tambwe hataki tena kukutana na  beki wa Tz Prisons, Nurdin Chona, kwani kwa jinsi alivyomzuia, hakua na ujanja wala njia ya kumpita japo mara  moja kwa dakika zote tisini walipocheza. Kila alipokwenda alijikuta Nurdin yupo nae,

 Uhuru selemani
 nashukuru nipo huru

            Sio siri, mmoja kati ya wachezaji wenye vipaji vya hali ya juu hapa Tanzania ni Uhuru Selemani, ambae hadi msimu wa mwaka 2013/14 unamalizika alikua ni mchezaji wa timu kongwe ya Simba. Lakini sasa hivi ni mchezaji huru baada ya kukubaliana na timu hiyo kwamba hataweza kuongeza mkataba.