yanga
yawaduwaza al alhly
Klabu bingwa ya Tanzania Yanga,
leo imevunja mwiko baada ya kuwafunga Al Ahly yaa Misri goli moja kwa bila
katika mchezo wa klabu bingwa Afrika. Toka waanze kukutana mwaka 1982, hii ni mara ya kwanza kwa Yanga kushinda.


