MAN UTD YABANWA TENA
Kwa mara
nyingine timu ya Manchester united imeshindwa kupata ushindi nyumbani baada ya
kulazimishwa sare na timu ya Southampton kwa kufungana goli 1-1.
Suthampton walipata bao lao ikiwa imesalia
dakika moja mpira kumalizika kwa goli lililofungwa na beki Dejan Lovren na
kuzima ndoto za Man za kuondoka na ushindi.
Man walikua wa kwanza kupata goli
lililofugwa na RobinVan Persie baaada ya kazi nzuri iliyofanywa na kinda Adnan
Januzaj na kumpasia Rooney aliyepiga na
kipa wa Southamton akashindwa kuuhiili na kumrudia Van Persie aliyeukwamisha
wavuni.
Van Persie tena nusura aipatie Man goli la
pili lakini mpira aliopiga kichwa ukagonga nguzo.
Baada ya mchezo kocha wa timu ya Southmpton
Mauricio Pochettino alisema ameridhika na sare hiyo ingawa kulikua nafasi ya
kuweza kushinda lakini kwa kupata sare ni jambo kubwa sana ukichukulia unacheza
katika uwanja kama wa Old Traford. Nae kocha wa man David Moyes alisema timu yake ilifanya kosa kuridhika na
goli moja na hilo ndio tatizo kwani w




No comments:
Post a Comment