Saturday, 14 December 2013

MERTeSACKER AMFOKEA OZIL HADHARANI

Nahodha wa Arsena Per Mertesacker baada ya kipigo cha magoli 6-3 toka kwa Arsena alionekana akimfokea  mchezaji mwenzake toka Ujerumani Mesut Ozil.

      Chanzo cha tukio hilo ni kitendo cha Ozil kukataa kwenda kuwapigia makofi ya shukrani mashabiki wa Arsenal waliosafiri kwenda kuishangilia timu yao katika uwanja wa Etihad.

     Mertesacker alikasirishwa na kitendo hicho na kuamua kumfata Ozil na kuanza kumpa maneno makali,ambapo manzo Ozil alijaribu kujibu lakini mwishoni akaamua kukaa kimya.


   Mertesacker ni kipenzi cha mashabiki wa Arsenal kwa jinsi anavyoichanganya nao kama timu ikishinda ua hata kupoteza mchezo.

No comments:

Post a Comment